Luke 20:37

37 aHata Musa alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka moto bila kuteketea, alipomwita Bwana, ‘Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo.’
Copyright information for SwhKC